Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.


 
HomeHome  SearchSearch  Latest imagesLatest images  RegisterRegister  Log inLog in  

 

 Mkoa wa Mwanza

Go down 
AuthorMessage
Admin
Admin
Admin


Posts : 100
Points : 310
Reputation : 0
Join date : 2012-06-04

Mkoa wa Mwanza Empty
PostSubject: Mkoa wa Mwanza   Mkoa wa Mwanza Icon_minitimeTue Jun 05, 2012 10:17 pm

Mkoa wa Mwanza ni kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Umepakana na Geita upande wa magharibi, Shinyanga na Simiyu upande wa kusini na Mara upande wa mashariki. Ziwa la Viktoria Nyanza liko kaskazini.

Makao makuu ya mkoa yapo Mwanza mjini.

Wakazi wa mkoa huu ni wa makabila tofauti kati ya hayo kabila kubwa ni Wasukuma hasa upande wa bara, upande wa visiwani ni Wakerewe, na Wakara.

Utawala na Siasa

Kabla ya kumegwa na kuzaa mkoa mpya wa Geita, mkoa wa Mwanza ulikuwa na wakazi 2,942,148 (sensa ya mwaka 2002) ukiwa na eneo la 19,592 km2.

Wilaya za Mkoa wa Mwanza: Tembelea kurasa zake

1. Nyamagana 2. Ilemela 3. Ukerewe 4. Kwimba 5. Magu 6. Misungwi 7. Sengerema

Majimbo ya uchaguzi: Tembelea kurasa zake

1. Nyamagana 2. Ilemela 3. Nyang’hwale 4. Kwimba 5. Sumve 6. Magu 7. Busega 8. Misungwi 9. Buchosa 10. Ukerewe

Mkoa pia unao wabunge watatu(3)wa Viti Maalumu

ELIMU
Mkoa wa Mwanza una jumla ya shule 251 za sekondari, hadi mwaka 2007 mkoa ulikuwa na shule za msingi 1164.

Mkoa wa Mwanza unavyo vyuo vya ualimu 2 vya Serikali ambavyo ni Murutunguru kwa mafunzo ya ualimu wa Daraja A na Butimba kwa mafunzo ya ualimu ngazi ya Diploma. Aidha mkoa una chuo cha ualimu kisicho cha serikali 1 jijini Mwanza kiitwacho Montessori.

Mkoa una chuo kimoja cha ufundi stadi cha serikali ambacho ni chuo cha VETA kilichopo eneo la Nyakato Jijini Mwanza. Aidha kuna vyuo vya ufundi stadi visivyo vya serikali vipatavyo vine. Vyuo vikuu vilivyopo mkoa wa Mwanza ni :-

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania mali ya Serikali.
Chuo Kikuu cha St. Augustine University of Tanzania.
Chuo Kikuu cha TIba – Bugando.


Tembelea

Tovuti rasmi ya Mkoa wa Mwanza

Kama una habari yoyote au ushauri au makala yako kuhusu mkoa huu unaweza kuyapost kwenye kisanduku hapo chini.

Wabeja getegete, wakondya.http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=36639
Back to top Go down
https://safari.darkbb.com
 
Mkoa wa Mwanza
Back to top 
Page 1 of 1

Permissions in this forum:You cannot reply to topics in this forum
Safari Forums :: All about Lake Zone :: Regions/Mikoa :: Mkoa wa Mwanza-
Jump to: