Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.


 
HomeHome  SearchSearch  Latest imagesLatest images  RegisterRegister  Log inLog in  

 

 Wilaya ya Misenyi

Go down 
AuthorMessage
Admin
Admin
Admin


Posts : 100
Points : 310
Reputation : 0
Join date : 2012-06-04

Wilaya ya Misenyi Empty
PostSubject: Wilaya ya Misenyi   Wilaya ya Misenyi Icon_minitimeTue Jun 05, 2012 10:58 pm

Wilaya ya Misenyi ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Ilianzishwa mwaka 2007 kutokana na maeneo ya wilaya ya Bukoba Vijijini.

Wilaya hii ilitengwa mwaka 2007 na maeneo ya Wilaya ya Bukoba Vijijini. Ukijua ni kata zipi zilizopelekwa Misenyi saidia kutuhabarisha.

UTAWALA NA UWAKILISHI WA WANANCHI

Halmashauri ya Wilaya ina Tarafa 2, Kata 17, vijiji 74 na vitongoji 351. Kuna jimbo moja la uwakilishi Bungeni (Nkenge); Wilaya ina Madiwani 23 na Mbunge 1, kati ya madiwani hao 17 ni wa kuchaguliwa kutoka kwenye Kata na 5 ni kutokana na Viti Maalum.

Kata za wilaya ya Misenyi: Tembelea kurasa zake

Kitobo | Bwanjai | Bugandika | Bugorora | Kyaka | Bunazin | Kakunyu | Kasambya | Minziro | Nsunga
Back to top Go down
https://safari.darkbb.com
 
Wilaya ya Misenyi
Back to top 
Page 1 of 1
 Similar topics
-
» Wilaya ya Busega
» Wilaya ya Karagwe
» Wilaya ya Sengerema
» Wilaya ya Ngara
» Wilaya ya Kwimba

Permissions in this forum:You cannot reply to topics in this forum
Safari Forums :: All about Lake Zone :: Regions/Mikoa :: Mkoa wa Kagera :: Wilaya ya Misenyi-
Jump to: