Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.


 
HomeHome  SearchSearch  Latest imagesLatest images  RegisterRegister  Log inLog in  

 

 Wilaya ya Muleba

Go down 
AuthorMessage
Admin
Admin
Admin


Posts : 100
Points : 310
Reputation : 0
Join date : 2012-06-04

Wilaya ya Muleba Empty
PostSubject: Wilaya ya Muleba   Wilaya ya Muleba Icon_minitimeTue Jun 05, 2012 11:02 pm

Wilaya ya Muleba ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 386,328.

Muleba ilikuwa tarafa ya Bukoba ikaanzishwa kama wilaya ya pekee mwaka 1984. Makao makuu yako kwenye mji wa Muleba uliokuwa na wakazi 10,000 wakati wa sensa 2002.

Wilaya ina tarafa tano za Muleba, Kimwani, Nshamba, Izigo na Kamachumu. Eneo la wilaya ni kilomita za mraba 3,444 pamoja na 7925 km² za maji ya Ziwa Viktoria zikiwa pamoja na visiwa 20.

Kata za wilaya ya Muleba: Tembelea kurasa zake

;;;;;;;;;;;
Back to top Go down
https://safari.darkbb.com
 
Wilaya ya Muleba
Back to top 
Page 1 of 1
 Similar topics
-
» Mbunge wa Muleba Kusini
» Mbunge wa Muleba Kasikazini
» Wilaya ya Busega
» Wilaya ya Karagwe
» Wilaya ya Sengerema

Permissions in this forum:You cannot reply to topics in this forum
Safari Forums :: All about Lake Zone :: Regions/Mikoa :: Mkoa wa Kagera :: Wilaya ya Muleba-
Jump to: