Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.


 
HomeHome  SearchSearch  Latest imagesLatest images  RegisterRegister  Log inLog in  

 

 Wilaya ya Ukerewe

Go down 
AuthorMessage
Admin
Admin
Admin


Posts : 100
Points : 310
Reputation : 0
Join date : 2012-06-04

Wilaya ya Ukerewe Empty
PostSubject: Wilaya ya Ukerewe   Wilaya ya Ukerewe Icon_minitimeTue Jun 05, 2012 6:49 pm

Wilaya ya Ukerewe ni wilaya moja ya Mkoa wa Mwanza. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 261,944.

Eneo la wilaya hii iko kwenye visiwa ndani ya ziwa Viktoria Nyanza hasa visiwa viwili vikubwa vya Ukerewe na Ukara pamoja na visiwa vidogo.

Kata za wilaya ya Ukerewe: Tembelea kurasa zake

Bukanda • Bukiko • Bukindo • Bukongo • Bukungu • Bwiro • Bwisya • Igalla • Ilangala • Irugwa • Kagera (UK) • Kagunguli • Kakerege • Mukituntu • Muriti • Murutunguru • Nakatunguru • Namagondo • Namilembe • Nansio • Nduruma • Ngoma • Nkilizya • Nyamanga

Kama una maoni, ushauri, habari au makala yeyote kuhusu wilaya hii unaweza kuandika na kupost kwenye kisanduku hapo chini.

Asante.
Back to top Go down
https://safari.darkbb.com
 
Wilaya ya Ukerewe
Back to top 
Page 1 of 1
 Similar topics
-
» Mbunge wa Ukerewe
» Wilaya ya Busega
» Wilaya ya Karagwe
» Wilaya ya Sengerema
» Wilaya ya Ngara

Permissions in this forum:You cannot reply to topics in this forum
Safari Forums :: All about Lake Zone :: Regions/Mikoa :: Mkoa wa Mwanza :: Wilaya ya Ukerewe-
Jump to: