Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.


 
HomeHome  SearchSearch  Latest imagesLatest images  RegisterRegister  Log inLog in  

 

 Mkoa wa Geita

Go down 
AuthorMessage
Admin
Admin
Admin


Posts : 100
Points : 310
Reputation : 0
Join date : 2012-06-04

Mkoa wa Geita Empty
PostSubject: Mkoa wa Geita   Mkoa wa Geita Icon_minitimeTue Jun 05, 2012 6:52 pm

Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa magharibi, Shinyanga upande wa kusini na Mwanza upande wa mashariki. Ziwa la Viktoria Nyanza liko kaskazini.

Makao makuu ya mkoa yapo Geita mjini.

Makabila makubwa katika mkoa ndio Wasukuma na Wazinza.

Kabla ya kuanzishwa mkoa mpya wa Geita, ulikuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza ambao ulikuwa na wakazi 2,942,148 (sensa ya mwaka 2002) katika wilaya 8 ukiwa na eneo la 19,592 km2.

Wilaya na Siasa

Wilaya za mkoa wa Geita: Tembelea kurasa zake

1. Bukombe 2. Chato 3. Geita 4. Mbongwe 5. Nyang’hwale.

Majimbo ya uchaguzi: Tembelea kurasa zake
Back to top Go down
https://safari.darkbb.com
 
Mkoa wa Geita
Back to top 
Page 1 of 1

Permissions in this forum:You cannot reply to topics in this forum
Safari Forums :: All about Lake Zone :: Regions/Mikoa :: Mkoa wa Geita-
Jump to: