Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Karibu kwenye mtandao wa jamii, ni bure kabisa kuutumia ILA kabla ya ku post topic yeyote au ku comment unatakiwa kujisajili.

Ni rahisi sana tunachohitaji ni kuandika email yako na username tu.
Safari Forums
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.


 
HomeHome  SearchSearch  Latest imagesLatest images  RegisterRegister  Log inLog in  

 

 Mkoa wa Kagera

Go down 
AuthorMessage
Admin
Admin
Admin


Posts : 100
Points : 310
Reputation : 0
Join date : 2012-06-04

Mkoa wa Kagera Empty
PostSubject: Mkoa wa Kagera   Mkoa wa Kagera Icon_minitimeTue Jun 05, 2012 7:28 pm

Mkoa wa Kagera ni mkoa wa kaskazini-magharibi kabisa katika Tanzani. Jina lake linatokana na Mto Kagera.

Mkoa wa Kagera unapatikana kaskazini magharibi mwa nchi ya Tanzania. Makao makuu ya mkoa yapo katika mji wa Bukoba. Mkoa huu unapakana na nchi ya Uganda kwa kaskazini, Rwanda na Burundi kwa upande wa magharibi mkoa wa Kigoma, Mwanza kwa upande wa kusini na ziwa Victoria kwa upande wa mashariki. Mkoa wa Kagera una jumla ya eneo la kilomita za mraba 39,168 kati ya hizo kilometa za mraba 28,513 ni eneo la nchi kavu za kilomita 10,655 ni eneo la maji.

Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2002 mkoa ulikadiliwa kuwa na watu 2,033,888. Wakazi wengi wa mkoa huu ni Wahaya, Wahangaza na……

Utawala na Siasa

Wilaya za mkoa wa Kagera: Tembelea kurasa zake

1. Bukoba-mjini 2. Bukoba Vijijini 3. Misenyi 4. Muleba 5. Karagwe 6. Ngara 7. Biharamulo 8. Kyerwa.

Misenyi ni wilaya mpya iliyoanzishwa mwaka 2007 na Kyerwa ikafuata mwaka 2012.

Majimbo ya uchaguzi: Tembelea kurasa zake

1. Bukoba Mjini 2. Bukoba Vijijini 3. Chato 4. Biharamulo Magharibi 5. Biharamulo Mashariki 6. Karagwe 7. Kyerwa 8. Muleba Kusini 9. Muleba Kaskazini 10. Nkenge 11. Ngara

Wakuu wa Mkoa wa Kagera tangu mwaka 1961 ni hawa wafuatao:-

1. Bw. Samuel N. Luangisa (1961 – 1964),

2. Bw. Oswald Marwa (1964 – 1966),

3. Bw. P. C. Walwa (1966 – 1967),

4. Bw. S. S. Semshanga (1967 – 1970),

5. Bw. L. N Sijaona (1970 – 1972),

6. Maj. Gen. Twalipo (1972 – 1974),

7. Brig. M. M Marwa (1974 – 1975),

8. Col.T. A Simba (1975 – 1977),

9. Bw. Mohamed Kisoki (1977 – 1978),

10. Capt. Peter Kafanabo (1978 – 1981),

11. LT.Col. Nsa Kaisi (1981 – 1987),

12. Bw. Horace Kolimba (1987 – 1989),

13. Bw. Paul Kimiti (1989 – 1991),

14. Capt. A. M Kiwanuka (1991 – 1993),

15. Bw. Philip J. Mangula (1993 – 1996),

16. Bw. Mohamed A. Babu (1996 – 1999),

17. Gen. T. N. Kiwelu (1999 – 2006),

18. Col. E. Mfuru (2006 – 2009),

19. Bw. Mohamed A. Babu (2009 – 2011),

20. Col Fabian I. Massawe (2011 hadi sasa

Kwa habari zaidi tembelea,

Tovuti rasmi ya Mkoa wa Kagera
Back to top Go down
https://safari.darkbb.com
Admin
Admin
Admin


Posts : 100
Points : 310
Reputation : 0
Join date : 2012-06-04

Mkoa wa Kagera Empty
PostSubject: Re: Mkoa wa Kagera   Mkoa wa Kagera Icon_minitimeTue Jun 05, 2012 11:11 pm

testing testing
Back to top Go down
https://safari.darkbb.com
 
Mkoa wa Kagera
Back to top 
Page 1 of 1
 Similar topics
-
» Mkoa wa Geita
» Mkoa wa Shinyanga
» Mkoa wa Simiyu
» Mkoa wa Mara
» Mkoa wa Mwanza

Permissions in this forum:You cannot reply to topics in this forum
Safari Forums :: All about Lake Zone :: Regions/Mikoa :: Mkoa wa Kagera-
Jump to: